
mzumbe
VIJANA KUNUFAIKA NA MITAJI YA UFADHILI WA UMATI (“CROWDFUNDING”)
Serikali imeahidi kuendelea kuandaa mazingira wezeshi, pamoja na kuharakisha uundwaji wa Sera na miongozo itakayosaidia wajasiriamali vijana, kuanza kunufaika na mpango wa upatikani mikopo kwa njia ya mtandao (Crowdfunding), pamoja na kuhakikisha fedha zitakazokusanywa zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
Hayo yameelezwa Dkt. Mursali Milanzi, mgeni rasmi, akimwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, wakati wa ufunguzi wa Warsa ya siku moja iliyoandaliwa na Chuo Kikuu Mzumbe, wakati wa kuwasilisha matokeo ya utafiti. Warsha hiyo ilifanyika katika ukumbi Royal Village, Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali kutoka sekta ya fedha ikiwemo Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana.
Milanzi, amepongeza Chuo Kikuu Mzumbe kwa kubuni utafiti ambao utasaidia vijana kupata mitaji na kutatua changamoto kubwa ya mitaji kwa vijana, na kwamba utafiti huo utasaidia sana Serikali katika kuhuisha na kuandaa Sera na miongozi itakayotoa dira ya namna ya upatikanaji wa mitaji yenye riba na masharti nafuu, kwa makundi mbalimbali yaliyopo katika jamii kwa njia ya mtandao.
Akimkaribisha mgeni Rasmi, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha, amesema lengo la mradi huo ni kuelewa namna bora ya kukuza na kuendeleza biashara zinazoanzishwa na kuongozwa na vijana, kupitia upatikanaji wa mitaji ya ufadhili wa umati (Global Funding) kwa njia ya mtandao wa mawasiliano (internet), kuelewa tabia na vipaumbele vya wafadhili wa umati katika muktadha wa umbali mkubwa kijiongorafia, na tofauti za kitamaduni kati ya wahitaji wa mitaji na wafadhili wa mitaji, pamoja na kuelewa mikakati gani ni mizuri katika kuhakikisha vijana wa Kitanzania wananufaika na upatikanaji wa mitaji kupitia ufadhili wa umati kwa njia ya mtandao (internet), ambapo baadhi ya nchi za Afrika tayari zimeanza kunufaika na mpango huo.
Akiwasilisha matokeo ya utafiti huo, Mratibu wa Mradi huo Dkt. Nsubili Isaga, amesema mikoa iliyohusika katika utafiti huo ni Dar es salaam, Morogoro, Mbeya, Arusha na Mwanza, na matokeo ya awali yanaonesha idadi kubwa ya vijana hawatambui fursa hizo, wakati Utamaduni ukiathiri kwa sehemu kubwa uwepo wa utaratibu mzuri wa kuchangia maendeleo ya vijana kwa njia ya Umati.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, Mwakilishi kutoka Idara ya Maendeleo ya Sekta ya Fedha, Bi.Dionisia Mjema na Mwakilishi kutoka Soko la Mitaji, Bw. Charles Shirima, wamesema utafiti huo umekuja muda muafaka katika kuhakikisha soko la mitaji linakua na vijana wanatambua fursa mbalimbali zilizopo. Tayari hatua mbalimbali zimeshaanza kuchukuliwa na Serikali kwa kutunga Sera, Kanuni na Taratibu zinakazosaidia vijana wengi kunufaika na mpango huo pamoja na kujiepusha na makosa ya kimtandao ukiwemo wizi na utapeli.
Warsha hiyo ilihudhuriwa na wadau mbalimbali wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali za Serikali, Mashirika Binafsi na Taasisi ya Fedha yakiwemo Mashirika yanayojihusisha moja kwa moja na maendeleo ya Vijana.
Mradi unatekelezwa na Chuo Kikuu Mzumbe, kupitia Skuli ya Biashara, Idara ya Uhasibu na Fedha kwa ufadhili wa Serikali ya Denmark, kupitia "Danida Fellowship Centre”, na unategemewa kumalizika Januari 2024 Mradi huu.
******************************************
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka amewataka Wanafunzi na Wanajumuiya wote wa chuo Kikuu Mzumbe kuienzi na kushiriki katika michezo mbalimbali inayoandaliwa chuoni hapo kwani michezo ni muhimu sana kwa afya zao kwa kuwa huwaepusha na magonjwa.
Prof. Kusiluka amesema hayo katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya vitivo (Inter-faculty Games 2022) yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya michezo vilivyopo kampasi kuu Morogoro ambapo pia ameahidi kuboresha miundombinu ya michezo ikiwa ni pamoja na kununua vifaa mbalimbali vya michezo.
“Menejimenti ya Chuo ina maono ya muda mrefu kuhusu michezo kwa kuwa ni fursa kubwa ya kujitangaza na pia ni muhimu kwa ajili ya afya zetu, pia tutambue kuwa michezo ni ajira na utajiri, kwahiyo tuendelee kuienzi michezo ”.Alisisitiza.
Katika hatua nyingine Makamu Mkuu wa Chuo amewapongeza Wanamichezo wote walioshiriki katika michezo ya TUSA mkoani Dodoma na kufanikiwa kutwaa medali nyingi na kusema kuwa ana imani mwaka huu Wawakilishi hao wataleta medali nyingi zaidi.
Ufunguzi wa mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka ulihusisha michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa pete, (Volleyball) na mpira wa kikapu na kuhudhuriwa na Wadau wa michezo wakiwemo Wafanyakazi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Wanafunzi kutoka vitivo na skuli mbalimbali, Serikali ya wanafunzi na Wanajumuiya wengineo wa chuo kikuu Mzumbe.
***************************************************************************************************************************************************************************************
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka amewataka Wanafunzi na Wanajumuiya wote wa chuo Kikuu Mzumbe kuienzi na kushiriki katika michezo mbalimbali inayoandaliwa chuoni hapo kwani michezo ni muhimu sana kwa afya zao kwa kuwa huwaepusha na magonjwa.
Prof. Kusiluka amesema hayo katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya vitivo (Inter-faculty Games 2022) yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya michezo vilivyopo kampasi kuu Morogoro ambapo pia ameahidi kuboresha miundombinu ya michezo ikiwa ni pamoja na kununua vifaa mbalimbali vya michezo.
“Menejimenti ya Chuo ina maono ya muda mrefu kuhusu michezo kwa kuwa ni fursa kubwa ya kujitangaza na pia ni muhimu kwa ajili ya afya zetu, pia tutambue kuwa michezo ni ajira na utajiri, kwahiyo tuendelee kuienzi michezo ”.Alisisitiza.
Katika hatua nyingine Makamu Mkuu wa Chuo amewapongeza Wanamichezo wote walioshiriki katika michezo ya TUSA mkoani Dodoma na kufanikiwa kutwaa medali nyingi na kusema kuwa ana imani mwaka huu Wawakilishi hao wataleta medali nyingi zaidi.
Ufunguzi wa mashindano hayo ambayo hufanyika kila mwaka ulihusisha michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa pete, (Volleyball) na mpira wa kikapu na kuhudhuriwa na Wadau wa michezo wakiwemo Wafanyakazi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Wanafunzi kutoka vitivo na skuli mbalimbali, Serikali ya wanafunzi na Wanajumuiya wengineo wa chuo kikuu Mzumbe.
****************************************************************************************************************************************************************************************
Mzumbe University will hold its 1st Mini- Graduation Ceremony at Main Campus, Thursday, 24th June 2021, New Assembly Hall - NAH (Samora ) starting from 10.00am.
The ceremony will be presided by the Chancellor of Mzumbe University, former President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council, His Excellence Dkt Ali Mohamed Shein. Candidates who successfully completed their studies from all our three campuses, and qualified for the award of Certificates, Diplomas and Degrees of Mzumbe University for the 2020/2021 Academic Year will be conferred their respective awards.
Graduation rehearsals will be held as follows:
- Main Campus: Wednesday, 23rd June 2021 at NAH Assembly Hall, starting from 2.00 pm.
For more details,Click here
Mzumbe University invites applications from suitably qualified Public Servants who wish to be transferred to Mzumbe University as Academic Staff at the level of Assistant Lecturer in the areas of specialization indicated below:-
Mr Stephen Nalailas's profile
Dr Ubena John's Profile
Address
Mzumbe University,
Faculty of Law,
P.O. Box 9,
Mzumbe - Morogoro
Tanzania
Phone: +255 -23-260- 4380/1/3/4
Mobile: +255 714 404496 Fax: +255-23-260-4382
E-mail: juThis email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. or This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Consultation: Monday 11:00AM - 13:00PM
Office: Faculty of Law Building Office No. 21, Mzumbe University (Main Campus) Mzumbe Morogoro
Ombella J.S Profile
John Sebastian Ombella is currently the Associate Director of the Directorate of Quality Assurance at Mzumbe University.
Dr Nsubili Isaga's profile
Dr Nsubili Isaga Mwalukasa is the Director of Quality assurance Mzumbe University since January 2015.
GENERAL ADMISSION REQUIREMENTS FOR UNDERGRADUATE DEGREE PROGRAMMES
The following are the general MINIMUM entrance requirements for the undergraduate degrees programmes:
Direct Entry Scheme
Applicant under this scheme must fulfill the following requirements:
Must hold at least three (3) O-level credit passes in relevant subjects according to specific programme.
Must have at least two principal level passes and one subsidiary level pass in the A- level, provided that the total number of points is at least 4.5 in the scale where A=5;B=4;C=3;D=2;E=1;S=0.5.
Equivalent Qualifications entry Scheme
Applicant under this scheme must meet the following requirements in order to qualify for consideration:
Must hold an appropriate Diploma of not less than second class level from a registered institution OR
Must hold a certificate from Mzumbe University of not less than second class level, following completion of form VI with at least one principal level pass and 3.5 points in the Advanced Certificate of Secondary Education.
NOTE: Additional requirements for entry to a particular Faculty or Programme are presented in the Faculty specific requirements in section B.
Recognition of Prior Learning (RPL)
The university has an alternative method of entry through the RPL (formerly known as Mature Age Entry Scheme). Applicants have to satisfy the following requirements:
- Must have at least 25 years of age;
- Must have completed at least standard seven education;
- Must have an relevant and related experiences in a field applied for;
- Must have the intention to pursue university education at degree level.
- Must be competent in written and spoken English
- Must sit for the RPL examination and pass at the average of B
NOTE
Additional requirements for entry to a particular Faculty are presented in section B.Principal passes in Divinity/Islamic Knowledge are NOT considered in the computation of points.
REQUIREMENTS FOR POSTGRADUATE PROGRAMMES
Additional qualifications for specific programmes
Applicants for MSc. (A&F) must possess solid accounting background and must have completed courses in Financial Accounting, Management Accounting, Financial Management, Auditing and Assurance and Quantitative Methods at a Bachelor’s degree level.
Applicants for MSc. MM must have studied marketing-related subjects at a bachelor’s degree level.
Applicants for MSc. PSCM must have studied supply management-related subjects at bachelor’s degree level Applicants for MSc (EM) with environment related social science degrees and those working in the field of environment will be at an added advantage Applicants for MSc. Economics must have studied economics at bachelor’s degree level 3B.Applicants for MSc. PPM and MSc. EPP must have studied economics-related subjects at bachelor’s degree level
Doctor of Philosophy (PhD) Degree Programmes
A candidate for Ph.D. should hold a master’s degree in the relevant field of study articulated above from any accredited university or institution, whose average grade is not less than B as evaluated according to Mzumbe University system. An application for admission into a PhD programme is received at anytime using Mzumbe University application forms but registration to the programme will be effective on biannual basis (March and October each year). A candidate seeking for a PhD admission should submit along with the application forms, a concept note of around 2,500 to 3,000 words indicating a topic intended to be addressed and his/her motivation to tackle it.
There are two options in our PhD design, namely part-time or full-time options. A full- time candidate shall be one who registers into a programme by dedicating 100% of his/her time in studies and is thus expected to accomplish PhD studies in three (3) years
An allowance of four (4) extensions of six month each will be allowanced during the entire PhD programme amounting to total duration of five (5) years. A part-time candidate shall be one who combines work and studies and is expected to accomplish PhD studies in four (4) years. An allowance of six (6) extensions of six month each will be allowed during the entire PhD programme amounting to total duration of seven (7) years. Successful candidates shall go for one of these options upon registration.
All PhD applications forms should be submitted to the Directorate of Research, Publications and Postgraduate Studies (DRPS) using the contact address given.